iqna

IQNA

28 safar
TEHRAN (IQNA) Waislamu leo wako katika maomboleo, simanzi na huzuni kubwa kwa mnasaba wa kukumbuka tukio chungu zaidi ya yote la kuaga dunia mbora wa Mitume wa Mwenyezi Mungu, Muhammad bin Abdullah SAW
Habari ID: 3472189    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/27